Wednesday, 21 August 2013

Waziri Mkuu Pinda Azinduwa Tawi la ACB Dodoma



WAJASIRIAMALI WADOGO NA WAKUBWA   MJINI DODOMA KUFAIDIKA SASA  NA 
ACB COMMERCIAL  BANK
Banki inayongoza kwa kuwafaidisha wajasiriamali wakubwa, wakati na wadogo kwa mikopo inayo mjali mjasiriamali zaidi. Banki ya ACB hutoa mikopo kama  Biashara loan, solidarity loan, Home improvement , consumer loan  na mingine mingi kulingana na mahitaji ya mteja. Kwa maelezo zaidi fika katika tawi la bank lililopo karibu nawe. ( BANK WA MAENDELEO YAKO)




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tawi la kumi na sita la Bank ya Akiba Commercial Bank mkoani Dodoma wanao shuhudia. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa ACB, Jonh Lwande na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi anaye fuatia ni Kaimu wa bodi ya Wakurugenzi ACB, Bi. Elizabeth Minde (Picha na Chris Mfinanga)

http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/04/IMG_1297.jpg

Waziri Mkuu Pinda akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ACB Bi.Elizabeth Minde.

http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/04/IMG_1282.jpg
Jengo la Tawi hilo kama linavyoonekana pichan


 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa tawi hilo

Wednesday, 26 June 2013

CARE International in Tanzania, 24 june 2013

Training Officer - (One Post)
CARE International in Tanzania

Date Listed: Jun 24, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 22 266 6775
Area: Moshi
Application Deadline: Jul 05, 2013
Start Date: Sep 02, 2013


Position Description:
CARE Tanzania is looking for an experienced Training Officer for this exciting program. S/he will play a major role in overseeing the formation of new VSLs. This position will be responsible for training training VAs/Franchisees in VSL group formation, Financial literacy and financial linkage; Monitor the VAs/Franchisee training provided to the groups; Establish a clear understanding of the active VAs in Kilimanjaro and develop selection criteria for VAs (adapted) and Franchisees (new).  Select and train new franchisees and VAs with refresher trainings to older. Train VAs/ Franchisees on group health check, MIS data collection and linkage assessment procedures.
MINIMUM REQUIREMENT
A minimum of Bachelors degree or equivalent in a related field; proven skills and experience in training, monitoring and evaluation; knowledge and experience in community based microfinance[ VSL, SACCOS, MFI, CBMF]; community development  and mobilization skills; high integrity and trust and be able to work under minimal supervision in remote environment; problem solving skills and make correct political judgments as well as Commitment, Accountability, Respect, Effectiveness, Diversity, Integrity, Initiating Action, Communicating with impact, Operational decision making, Building partnerships, Building commitment and Planning and organizing competencies.


Application Instructions:
  • Applications must be received by CARE byJuly 5, 2013.
  • Applications should be sent by Email Link above to The Human Resources Manager .  Copies may be posted to CARE International in Tanzania, Box 10242,Dar es Salaam.



Monitoring and Evaluation Officer
CARE International In Tanzania

Date Listed: Jun 24, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 22 266 6775
Area: Moshi
Application Deadline: Jul 05, 2013
Start Date: Sep 02, 2013


Position Description:

S/he will be responsible for managing the program’s Management Information System (MIS) and extracting data ready for posting to the SAVIX on a quarterly basis; manage program information and knowledge system; building capacity of other program staff, Village Agents and Franchisees in the area of MIS data collection; lead the finalization and adaptation of data collection tools to inform program outcomes; support the PIM in developing quarterly and annual narrative program reports; lead program level monitoring, reviews and documentation of lessons learn, good practices and developing case studies for the linkage component.

S/he is expected to maintain effective working relationships with other CARE staff working with other CARE program initiatives and Impact groups

MINIMUM REQUIREMENT

This position requires Bachelor’s degree in Social Sciences; 3 years in the same or similar position;Strong prior experience with community participatory surveys; Demonstrated skills in developing and implementing M&E plans;Strong interpersonal skills and ability to transfer knowledge to others;High competency in database and using/applying analytical software;Conversant with VSL methodology;Excellent oral and written skills in English and Kiswahili; Conversant  in MS office Word and Excel; Firm belief in teamwork, gender equality, sensitivity to HIV/AIDS and participatory approach and sustainable development; Candidate should observe integrity, Accountability, respect, effectiveness and Diversity


Application Instructions:
  • Applications must be received by CARE byJuly 5, 2013.
  • Applications should be sent by Email Link above to The Human Resources Manager /a>.  Copies may be posted to CARE International in Tanzania, Box 10242,Dar es Salaam.

Program Officer - (One Post)
CARE International in Tanzania

Date Listed: Jun 24, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 22 266 6775
Area: Moshi
Application Deadline: Jul 05, 2013
Start Date: Sep 02, 2013


Position Description:
CARE Tanzania is looking for an experienced Program Officer for this exciting program. S/he will play a major role in assessing the existing VSLs in Kilimanjaro before being carried over into the program;  develop with input from MCBL, Vodacom and other to be identified service providers, the guidelines and overview of the products offered to VSLs as well as the mobile wallet service for accessing the products. Adapt the training modules on savings linkage with MCB. Develop the process for linking existing and new groups (detailed plan for assessments and health checks) manage the linkage component in terms of assessing the linkage readiness of the groups; train the VSLs on financial literacy and financial linkages with MCBL. S/he will be responsible for leading a process for monitoring and mentoring support to Village Agents (VA)s and Franchisees  regarding VSL linkage training as well as oversee the linkage training provided to the VSLs; ensure all groups interested in linking under the initiative have received financial literacy training, linkage training, M-Pesa training as well as underwent a linkage readiness assessment with a score denoted with their  MIS data; provide input to MCBL for product finalization; lead the review of pilot data and identify issues to be raised to MCBL for adaptation prior to product finalization.

MINIMUM REQUIREMENT
At least two years of work experience in community development; Practical experience in application of participatory approaches Bachelor’s degree in community development, Microfinance, or related field to the program initiative assigned; Skills and experience in building partnership and commitment to program initiative’s objectives; Training and facilitation skills; Knowledge and understanding of gender analysis in rural communities; Computer skills (Microsoft Office Package); Good monitoring skills; Proficient oral and written skills in English and Kiswahili; Good understanding of community mobilization methodologies and practices; Solid report-writing skills; Firm belief in teamwork, gender equality, sensitivity to HIV/AIDS and participatory approach and sustainable development as well as Commitment, Accountability, Respect, Effectiveness, Diversity, Integrity, Initiating Action, Communicating with impact, Operational decision making, Building partnerships, Building commitment and Planning and organizing competencies.


Application Instructions:
  • Applications must be received by CARE byJuly 5, 2013.
  • Applications should be sent by Email Link above to The Human Resources Manager /a>.  Copies may be posted to CARE International in Tanzania, Box 10242,Dar es Salaam.



Customer Desk Officer (Five Posts)
Quality Centre

Date Listed: Jun 25, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 784 274 645
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jul 15, 2013
Start Date: Jul 22, 2013


Position Description:
Preferably female candidates are required for these positions. Age range 25 plus years of age with a minimum of 2 years experience in Customer Relations or related industries. Local Asian or exceptional well orientated Tanzanian with fluency in both English and Kiswahili. Minimum of form 6 leaver.with IT skills as candidates will be using modern software programs.
Salary is negotiable dependant on experience. Immediate start for the right candidates. Please send CV with attached photo.
This is a large corporate company with excellent promotional opportunities.




Application Instructions:
CV's with attached photos Strictly no phone calls acce

Tuesday, 18 June 2013

TANZANIA PETROLIUM DEVELOPMENT CORPORATION JOB POST



Technician - Water (One Post)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:

From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
A water technician maintains and operates water and wastewater systems, operates construction equipment, heavy machinery and repairing and maintaining facilities and equipment in a safe, effective, and efficient manner. He is usually in charge of the equipment maintenance at the plant. The job entails using various tools, computerized systems and gauges to test the water for contaminants and inconsistencies.
Principal Duties and Responsibilities
Installs water lines and sewer lines, disconnects service lines, installs and removes fire hydrants, installs and repairs valves.
Maps and diagrams water locations, logs jobs completed.
Patches streets, digs holes and pours cement, lays pipe, cuts weed, builds fences and participates in mad removal activities.
Assists to haul sand, road base, gravel, trench spoils and general debris to and from locations within and without the city limits.
Performs routine maintenance and emergency repairs; reports mechanical problems to supervisor or lead worker.
Installs sprinkling systems, repairs plumbing in restrooms, drinking pipes, and leaky valves
Assists in general water meter maintenance activities such as installation, removal, and repair
Performs semi-skilled and skilled maintenance work.
Use the required procedures to test water and give excellent attention to every detail of the findings
Adjusts chemical levels and remove harmful bacteria and organisms to make the water drinkable and visually appealing.
Installation and monitoring of water equipments
Ensures safe custody of materials, tools and equipments.
Ensure that preventive maintenance programs are designed and observed
Operating water and wastewater machinery, construction equipment and heavy machinery and repairing and maintaining facilities and equipment
Participate on the daily operations on the projects.
Performs any other related duties as may be assigned by the superiors.
Desired Professional Qualification
Holder of a Diploma certificate, or Full Technician Certificate (FTC) in Water treatment/ Water quality/Water plant maintenance technology, or equivalent qualification recognized technical institution
Job experience related to water treatment or plant maintenance will be an added advantage
Desired Competences
Ability to read and interpret gauges and other measuring devices is required
Ability to use chemicals and other additives to test water samples and make adjustments
Good listening skills
Ability to taste and smell
Knowledge of safety procedures
An expert in troubleshooting
Knowledge of Computer & water gauges equipments
Fast learner and able to work independently
Able to work under pressure & in varying conditions
Fluency in written and spoken English and Swahili
Age limit
Not more than 35 years.
Remuneration
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDC- GS 4



Technician - Electrical/Instrumentation (Two Posts)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Align, fit, and assemble component parts, using hand tools, power tools, fixtures, templates, and microscopes.
Analyze and record test results, and prepare written testing documentation.
Inspect parts for surface defects and install electrical and electronic parts and hardware in housings or assemblies, using soldering equipment and hand tools.
Read blueprints, schematics, diagrams, and technical orders to determine methods and sequences of assembly.
Repair, rework, and calibrate hydraulic and pneumatic assemblies and systems to meet operational specifications and tolerances.
Test performance of electromechanical assemblies, using test instruments such as oscilloscopes, electronic voltmeters, and bridges.
Test equipment, using test devices attached to generator, voltage regulator, or other electrical parts, such as generators or spark plugs.
Installing equipment, machines, wiring, or programs to meet specifications and conducts tests and inspections of products, services, or processes to evaluate quality or performance.
Ensures safe custody of materials, tools and equipments.
Ensure that preventive maintenance programs are designed and observed
Participate on the daily operations on the projects.
Performs any other related duties as may be assigned by the superiors.
Desired Professional Qualification
Holder of a Diploma certificate, or Full Technician Certificate (TFC) in Electronics or equivalent qualification recognized technical institution
Desired Competences
Knowledge of electro safety procedures
An expert in troubleshooting
Knowledge of Mathematics and science
Knowledge of Computer & Electronic equipments
 Fast learner and should be able to work independently
Able to work under pressure & in varying conditions
 Information ordering
Fluency in written and spoken English and Swahili
Age limit
Not more than 35 years.
Remuneration
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDCGS 4


Cartographer II (Two Posts)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Undertakes cartographic works pertaining to the preparation of geological/ geophysical and other drawings including those for engineering purposes.
Conducts printing and copying works of maps and data requested by geoscientists and engineers.
Sorts maps and data stored in the archives for copying and printing as requested by geoscientists and engineers.
Arranges data and maps for dispatch outside the country.
Undertakes any other related duties as may be assigned by superiors from time to time.
Desired Professional Qualification
Holder of a Diploma in Cartography from a recognized institution with at least one year training in Computer aided designs.
Holders of Certificate of Secondary Education (Form Four) must have 1 year certificate in Cartography before Diploma.
Desired Competences
Fluency in written and spoken English and Swahili
Knowledge of computer drawings
Age limit
Not more than 30 years
Remuneration
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDC- GS 4


Human Resources Officer II (One Post)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Calls Please
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Maintains and updates Corporation's employees' personal records with regard to employment, training, promotions, increments, leave and disciplinary action records.
Reviews copies of appointments, training / educational and disciplinary committee meeting and updates records and advised on relevant action as appropriate.
Distributes and collects performance evaluation, and manpower training needs forms for various directorates, units and processes them as directed.
Participates in orientation and induction course of newly recruited employees.
Administers Sick Sheets, Burial arrangements, hospitalization formalities and certifies medical bills.
Maintains and administers up-to- date leave rosters in cooperation with directorate/unit heads and makes recommendations on leave travel assistance claims.
Performs any other related duties as may be assigned by the superiors.
Desired Professional Qualification
The candidate must be a holder of a degree in Public/Business
Administration or equivalent qualification from a recognized university/institution with 1st or upper 2nd class. OR
Masters degree in the relevant field
A working experience in related field will be an added advantage.
Desired Competences
Administrative skills
Computer skills is essential
Excellent writing and communication skills
Fluency in written and spoken English and Swahili
Age Limit
Not more than 30 years for a first degree holder and 35 years for master’s level.
Remuneration
According to TPDC Scheme of Service in the salary scale of TPDC-PS 5




Finance Officer II (One Post)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
To develop and maintain the financial manual of the Corporation and ensure that it is up to date and transparent.
To prepare daily, weekly and monthly financial reports.
To prepare and maintain monthly cash flow projection for the period of time for which funding is available.
To prepare the payrolls for the Corporation every month.
To prepare a fix-asset inventory twice a year in the months agreed by the Corporation.
To create, apply and control financial procedures and forms, ensuring that each transaction and payment has the necessary approval and justification.
To create and maintain the accounting plan and updating it whenever necessary
Prepares summaries for joint venture accounts.
Carries out regular checks on cash transactions.
Maintains ledgers of the section’s financial records and ensures that the necessary subsidiary ledgers are properly kept and maintained in his section.
Produces annual and other periodical accounts promptly as per laid down schedule.
Reconciles control accounts and intersectional accounts
Liaise with Bank officials on matters of letters of credit, import /export formalities, exchange rate etc.
Attends to queries and prepares reports needed by financial institutions.
Ensures that TPDC’s control system of cheques, approvals etc has been completed before payment, adjustment or receipt of funds.
Compiles budgets and prepares variance analyses.
Performs any other related duties as may be assigned by superior from time to time.
Minimum Qualifications
Holder of a Bachelor degree in Finance or equivalent qualification from a recognized institution with 1st or Upper 2nd Class. OR Masters degree in Finance
A working experience in the related field will be an added advantage.
Desired Competences
Computer skills is essential
Excellent writing skills & Communication skills
Fluency in written and spoken English and Swahili.
Age limit
Not more than 30 years for a first degree holder and 35 years for master’s level.
Remuneration:
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDCPS


Planning Officer II (Two Posts)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Assists in the appraisal of projects and other investment opportunities.
Assists in the drawing up of short and long term corporate plans.
Coordinates with subsidiary oil and gas companies in the preparation and submission of development plans and reports to Ministry responsible for petroleum affairs and Ministry of Finance.
In collaboration with the Directorate of Finance and Administration arranges for funding of development projects.
Prepares for supplementary budget requests.
Prepares annual recurrent, development and investment budgets.
Oversee investment in subsidiary and associated companies to ensure they are managed effectively.
Performs any other related duties as may be assigned by superiors.
Minimum Qualification
Holder of B.Sc. degree in Economics or equivalent qualification from recognized institution with 1st or Upper 2nd Class. OR Masters degree in Economics
A working experience in the related field will be an added advantage.
Desired Competences
Computer skills is essential
Excellent writing skills & Communication skills
Fluency in written and spoken English and Swahili.
Age limit
Not more than 30 years for a first degree holder and 35 years for master’s level.
Remuneration:
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDCPS





Senior Legal Officer II (One Post – Re-advertized)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Calls Please
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil
Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Prepares draft contracts for services to be offered or procured by the Corporation.
Attends to all Corporations’ law suits.
Seeks legal opinion from Attorney General’s Chambers and Law firms.
Ensures Corporation’s property is adequately insured.
Prepares annual reports and files with Parliament and Registrar of companies, and other agencies.
Performs any other duties as may be assigned to him by superior from time to time.
Desired Professional Qualification
Holder of an LLB degree with 1st or Upper 2nd class or equivalent qualification from a recognized Institution followed by not less than 4 years experience in the legal profession from a large commercial organization. OR
Holder of LLM and
A working experience of not less than 6 years in the legal profession
Full CISA certificate in Company Secretarial will be an added advantage.
Desired Competences
Computer skills is essential
Excellent writing skills & Communication skills
Fluency in written and spoken English and Swahili.
Remuneration
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDCPS
Age Limit:- Not more than 40 years






Accountant II (One Post)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Calls Please
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Jun 27, 2013

Position Description:
From Daily News June 17, 2013
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in Dar- Es –Salaam.
The Corporation has open vacancies for professional Tanzanians in the following disciplines:-
Principal Duties and Responsibilities
Checks accounting documents and records before and after posting.
Ensures correctness of accounting record.
Reconciles various accounts.
Prepares summaries for joint venture accounts.
Carries out regular checks on cash transactions.
Performs any other related duties as may be assigned by superior from time to time.
Desired Professional Qualification
Holder of a degree/Advanced Diploma in Accountancy or equivalent qualification from a recognized Institution with 1st or Upper 2nd Class. OR
Holder of CPA/ACCA
Masters degree in Accounting
A working experience in related field will be an added advantage.
Desired Competences
Financial / Accounting Computer skills
Fluency in written and spoken English and Swahili
Age limit
Not more than 30 years for a first degree holder and 35 years for master’s level.
Remuneration
According to TPDC Scheme of service in the salary scale of TPDCPS 5







Internal Auditors (Three Posts)

Internal Auditors (Three Posts)
Tanzania Posts Corporation (TPC),

Date Listed: Jun 18, 2013
Phone: No Calls Please
Area: Tanzania
Application Deadline: Jul 02, 2013

Position Description:
From Daily News June 18,2013
Qualifications
Bachelor Degree or Advanced Diploma in Accounting/Finance from any recognized Higher Learning Institution. Command of spoken and written Kiswahili and English languages with good analytical and interpersonal skills. Computer literate and familiar with Microsoft office and audit applications.
Good understanding of the accounting and finance management principles.
Duties & Responsibilities
Carry out audit check on the book-keepers ledgers on cost and financial accounting. Participate in the establishment of budgetary control and compliance.
Verify remittance and all financial transactions.
Verify the completeness of entries in the general ledger accounts. Carry out operational and management performance audit.
Write audit reports and follow up on the implementation of recommendations. Any other official duties as may be deemed necessary.
Duty Station
Successful candidate should be ready to work in any region within the United Republic of Tanzania.
Remuneration
Competitive and attractive compensation and benefits package including medical insurance cover as per Corporation's remuneration scheme.


Application Instructions:
Interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education, professional certificates and testimonials, together with mimes of three referees and their contact addresses, telephone number(s) and e-mail addresses.
Closing date and time:- fifteen (15) days from the first advertisement date.
Applications should be sent by EMS courier, pCum or Registered letter. Application sent by fax or electronically shall not be considered.
"TPC is an Equal Opportunity Employer"
The Manager Human Resources
Tanzania Posts Corporation
Posta House
P.O.Box 9551
Dar es Salaam.



Sunday, 16 December 2012

JE VITENDO AU MANENO HUDHIHIRIKA KWANZA? LAUWO KAZI KWETU

        

        LAUWO  DEC 2012

 Napenda kuwakumbusha wale ndugu zangu wakina lauwo kwamba muda tuliokuwa tukiusubiri kwa hamu umefika, ila je ni vitendo au maneno hudhihirika kwa urahisi? usinipe jibu ila jibu unalo peke yako kuhusu ahadi yetu ya kukutana moshi mwezi huu, kama sitakuwepo basi mtaniwia rathi kwani mimi nitaungana na wale watakao baki dar es salaam, kusubiri kitakacho jiri huko moshi kwani ndipo babu zetu walipokuwa wakifanya vikao vya pamoja.
          Nipende kuwakumbusha kwamba kuna siku niliweka mamba yangu ya simu kwenye mtandao ili tutafutane ila nilimpata mtu mmoja tuu ambae ni joe, japokuwa hatukuweza kukutana ana kwa ana bali naimani na matumaini watakao kuwepo moshi wataniwakilisha , ushirikiano  daima  vijana wa kina lauwo.
          Ili kuhakikisha jambo hili litafanikiwa huko moshi tuondoe tofauti zetu, za kuhusu muda, ulichonacho mfukoni, ubusy na mambo mengine mengi binadamu wa kawaida hupenda kujitetea nayo
         

Wednesday, 10 October 2012

IT PAY TO KNOW HOW TO PURCHASE KNOWLEDGE

The person who stops to studying merely because he has finished school is forever hopelessly doomed to mediocrity no matter what may be his calling, the way of success is the way of continuous pursuit of knowledge.


Monday, 23 July 2012

mtazamo wangu kuhusu kukutana kwenye ubarikio

Ni jambo la kusara na la heri kukutana wakati wa sikukuu kwani ndugu jamaa huletwa karibu wakati wa furaha na inakuwa ni rahisi  kujuana na kukumbukana kwa matukio ya sikukuu hizo.
      Je? isingekuwa jambo la muhimu kukakutana kwa makundi ili ifikapo december ikawa nirahisi kujumuika kwa pamoja nikiwa na maana hii, makundi ; namaanisha kutoka mikoa mbali mbali kwa mfano kwa walioko
Dar es salaam  kundi la  1
Arusha  kundi la 2
Mwanza  kundi la  3 
Mbeya  kundi la 4
 Kilimanjaro kundi la  5
Manyara  kundi la  6 
Singida  kundi la 7
Dodomakundi la  8
Morogoro la 9, na kuendelea kwa walioko ndani ya nchi ya tanzania lakini kwa walioko nje ya nchi hatutawasahau kwani tutawapa kundi  maalumu nikiwa  na maana kuwa ni vigumu kutaja nchi zote wanapoishi,
      Ila makundi haya yatakuwa na kiongozi mmoja ambaye atakuwa anawafahamu japo kwa majina na namba za simu waliopo kwenye kundi lake, ili ifikapo mwezi wa dec ( kuhiji ) basi iwe rahisi kupeana taarifa nani kafika na nani hajafika,

Umuhimu wa makundi haya:
1. Kukiwa na jambo kama harusi ni rahisi kupeana taarifa.
     namaanisha kuwa kuna dada zetu wanaolewa inapofika zamu ya kaka, inakuwa aibu,
     kwa upande mwingine ni kwetu sisi. Kwa mpango huu inakuwa raisi kuchagiana angalau kidogo              kulingana na uwezo wa  alicho nacho mtu mfukoni na kikaonekana kikubwa kwani ni cha pamoja.

2. wakati wa matatizo nirahisi kumfikishia kiongozi wako, wa kundi la mkoa uliopo na akawafikishia wengine taarifa si mpaka juje kusikia kwa mtu back

3. Taarifa za kazi , japokuwa wengi hawapendi ila mimi nasema, (niseme!!!!!!!)
hatakama itakuwa ngumu basi mfikishie taarifa mtu apigane mwenyewe kwenye mchakato wa interview

4.  naomba nimalizie kesho  faida hizi na  mwenye  faida na mchango kama huu au kinyume basi nenda sehemu ya comment uweke. ili tuweze kujumuika kwa upamoja kama   .........................................



Saturday, 21 July 2012

Guide For Writing a Business Plan (Utaratibu wa kuandika mpangilio wa biashara)

What goes into a business plan?
There is no single formula for developing a business plan, but some elements are consistent throughout all business plans. Your plan should include an executive summary, a description of the business, a plan for how you will market and manage your business, financial projections and the appropriate supporting documents.
To help you get started in writing your business plan, we have summarized the essential elements in the following outline.

Elements of a Business Plan

  1. Cover sheet
  2. Executive summary (statement of the business purpose)
  3. Table of contents
  4. Body of the document
    1. Business
      1. Description of business
      2. Marketing
      3. Competition
      4. Operating procedures
      5. Personnel
      6. Business insurance
    2. Financial data
      1. Loan applications
      2. Capital equipment and supply list
      3. Balance sheet
      4. Breakeven analysis
      5. Profit and loss statements
      6. Three-year summary
      7. Detail by month, first year
      8. Detail by quarters, second and third year
      9. Assumptions upon which projections were based
      10. Pro-forma cash flow
    3. Supporting documents
      1. Tax returns of principals (partners in the business) for last three years, personal financial statements (all banks have these forms)
      2. Copy of franchise contract and all supporting documents provided by the franchisor (for franchise businesses)
      3. Copy of proposed lease or purchase agreement for building space
      4. Copy of licenses and other legal documents
      5. Copy of resumes of all principals
      6. Copies of letters of intent from suppliers, etc.

10 Steps to Starting a Business ( njia 10 za kuanzisha biashara ndogo)


Starting a business involves planning, making key financial decisions and completing a series of legal activities. These 10 easy steps can help you plan, prepare and manage your business. Click on the links to learn more.

Step 1: Write a Business Plan

Use these tools and resources to create a business plan. This written guide will help you map out how you will start and run your business successfully.

Step 2: Get Business Assistance and Training

Take advantage of free training and counseling services, from preparing a business plan and securing financing, to expanding or relocating a business.

Step 3: Choose a Business Location

Get advice on how to select a customer-friendly location and comply with zoning laws.

Step 4: Finance Your Business

Find government backed loans, venture capital and research grants to help you get started.

Step 5: Determine the Legal Structure of Your Business

Decide which form of ownership is best for you: sole proprietorship, partnership, Limited Liability Company (LLC), corporation, S corporation, nonprofit or cooperative.

Step 6: Register a Business Name ("Doing Business As")

Register your business name with your state government.

Step 7: Get a Tax Identification Number

Learn which tax identification number you'll need to obtain from the IRS and your state revenue agency.

Step 8: Register for State and Local Taxes

Register with your state to obtain a tax identification number, workers' compensation, unemployment and disability insurance.

Step 9: Obtain Business Licenses and Permits

Get a list of federal, state and local licenses and permits required for your business.

Step 10: Understand Employer Responsibilities

Learn the legal steps you need to take to hire employees.

Friday, 13 July 2012

Operations Clerk 'B'

Operations Clerk 'B'
Tanzania Ports Authority

Date Listed: Jul 13, 2012
Phone: No Calls Please
Area: Tanga
Application Deadline: Jul 25, 2012

Position Description:
GRADE:        TPGS 3
TERMS OF EMPLOYMENT: Contract for unspecified period
REQUIRED QUALIFICATIONS AND WORKING EXPERIENCE
Form IV / VI
Operations Clerk 'B'/Basic Technician Certificate in Shipping and Operations Management
At least one year working experience in Port Industry
Computer literate
DUTIES
Maintain in safe custody operational records.
Raises rent memos and miscellaneous Port charges.
Perform any other duties as assigned from time to time.


Application Instructions:
Applications should be accompanied with copies of relevant certificates indicating current position, Age, marital status, basic education and working experience.
Application should be addressed to:
The Port Master
P.O.Box 443
TANGA







Operations Clerk 'C' (2 Posts)

Operations Clerk 'C' (2 Posts)
Tanzania Ports Authority

Date Listed: Jul 13, 2012
Phone: No Calls Please
Area: Tanga
Application Deadline: Jul 25, 2012

Position Description:
GRADE:        TPGS 2
TERMS OF EMPLOYMENT:Contract for unspecified period
REQUIRED QUALIFICATIONS AND WORKING EXPERIENCE
Form IV/ VI
Operations Clerk 'C' Certificate/Basic Technician Certificate in Shipping and Operations Management
At least one year working experience in Port Industry
Computer literate
DUTIES
Performs tallying and maintains records of movement cargo.
Assist the Assistant Operations Officer to capture shift operations records.
Maintain record of fuel supply to equipment.
Perform any other duties as assigned from time to time


Application Instructions:
Applications should be accompanied with copies of relevant certificates indicating current position, Age, marital status, basic education and working experience.
Application should be addressed to:
The Port Master
P.O.Box 443
TANGA



Thursday, 12 July 2012

VIJANA WA KINA LAUWO KUJIFUNZE KWA BABU ZETU

ningependa kuwafahamisha kuwa ningependa kufufua umoja wa  wanalauwo waishio ndani na nnje ya tanzania , nia na madhumuni ni kuwaleta pamoja wana lauwo wote, huu ni mtazamo ambao ulianzishwa na babu zetu enzi hizo lakini kwa kipindi chao ilikuwa ngumu kwani mawasiliano hayakuwa  ya kisasa kama sasa. Labda kwa kumbukumbu niwakumbushe vijana wenzangu wakina lauwo kuwa kuna  Mchungaji  JACKOB LAUWO ambaye sasa ni marehemu, Christophoro lauwo marehemu na wengi, Epafra Lauwo, apeli lauwo, Biliam lauwo, na wengi nilio wasahau enzi nikiwa na umri wa miaka kama kumi na moja, walijitahidi kufanya vikao vya kuleta ukoo wetu pamoja lakini ikashindikana kwani mawasiliano hayakuwa mazuri kama sasa, Cha kufanya ni bora sisi tunaokuwa kuwa na umoja wetu wa vijana wa kinalauwo ndio utakao tupa mwelekeo wa kujuana kwa ukaribu zaidi. kwenye face book nilitoa namba yangu yasimu, na nimeanja kupokea simu kwa vijana wenzangu wa kinalauwo. Nina idadi ya watu kumi sasa waishio dar es salaam. Asanteni

Wednesday, 23 May 2012

umoja wa vijana

si jambo la rahisi kusikia kuwa umoja wa vijana wa chama chochote kiwe cha siasa au cha kijamii wamefanya migomo kwani huwa na walezi na washauri kwa ajili ya kukijenga chama hicho kimaadili

Tuesday, 6 December 2011

financial accountant

Finca International
Date Listed: 02/12/2011Phone: No Calls PleaseArea: Dar Es SalaamApplication Deadline: 07/12/2011

Position Description:Key and Responsibilities• The successful candidate will be a senior member of the finance and administration department and will head the finance function reporting directly to the Chief Finance Officer. • He will ensure preparation and fair presentation of accounting records and financial statements in accordance with IFRS and legislations• Ensure accuracy of financial statements and compliance with internal procedures and policies• Prepare period tax and statutory withholding returns• Evaluate and improve work processes to improve the efficiency, quality and reliability• Supervise the accounting function and at the head office in preparation, recording, maintenance and reconciliation of financial transactions. • Oversee, evaluate and improve the branch accounting work processes to improve the efficiency, quality and reliability• Manage accounts payables and receivables balances of the company• Lead and manage internal and external audit processes of the company• Ensure financial statement balances are reconciled to daily cash in vault balances and company’s liquid assets are periodically reconciled. • Supervise and ensure accurate and timely financial reports are availed to FINCA Tanzania management, board and other stake holders. Ideal Profile• A University degree preferably in Commerce and Accounting (B.Com), Business Administration (B.B.A) or Banking. The candidate must hold a CPA/ACCA qualification. • The candidate must have at least 5 years working experience in a similar role (preferably in a banking and finance industry). • Knowledge of IFRS, tax legislations and micro finance legislation. • Proficiency in Excel and computerized accounting packages is a must. • Ability to effectively manage time• Effective people management skills• Strong interpersonal ,team building and coaching skills

Application Instructions:If you meet the above criteria please send your application letter, copy of your academic certificates and CV to Human Resources ManagerFINCA Tanzania LimitedMagomeni MwembechaiP.O Box 78383Dares Salaam

Friday, 2 December 2011

nini umuhimu wa kuheshimu ajira yako?

kulingana na utamaduni wa kitanzania ni vyema ukaeshimu kazi yako kwani wapo watu wanayo ingojea nafasi yako na wapo watu wenye hamu ya kuajiriwa na kujiajiri kwa

Saturday, 1 October 2011

NEC KUTANGAZA MATOKEO NDANI YA SAA 24




PRESHA imezidi kupanda Igunga. Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikiahidi kutangaza matokeo ya ubunge katika jimbo hilo ndani ya saa 24, vyama vitatu vikubwa CCM, Chadema na CUF vimeendelea kushutumiana kila kimoja kikidai kuhujumiwa.Usiku wa kuamkia jana, CCM kikiwatumia walinzi wake wa Green Guard kiliwazingira vijana 120 wa Chadema kwa tuhuma za kuingia na silaha ili kuvuruga uchaguzi huo uliopangwa kufanyika kesho.

Wakati Chadema kwa upande wake kikidai kwamba kitendo hicho cha CCM ni kiwewe cha kushindwa uchaguzi huo, CUF kimekuja na tuhuma nzito dhidi ya Nec kwamba inakiandalia ushindi chama tawala, CCM.

Madai ya CCM

Viongozi wa CCM wakiongozwa na Katibu wa Idara ya Siasa na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sekretarieti ya Halmashauri ya CCM, January Makamba waliwavamia vijana hao wa Chadema waliokuwa ndani ya magari manne ya kukodi kuelekea Igunga.

Tukio hilo lilitokea jana saa 10:00 alfajiri katika kizuizi cha magari cha Tinde- Shinyanga baada ya CCM kupata taarifa kwamba vijana hao walikuwa katika mabasi hayo ya kukodi wakiwa na mapanga kwa ajili ya kufanya fujo katika uchaguzi.

Baada ya kupata taarifa hizo, January akiwa viongozi wengine, Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Benno Malisa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya UVCCM, Hussein Bashe na Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Khalfan Aeshi, waliongoza vijana wenzao wa Green Guard na kuzingira magari hayo.

Mabasi hayo yalisimama katika kizuizi hicho cha polisi saa 7:00 usiku wakisubiri kupambazuke kutokana na sheria kutoruhusu mabasi kusafiri usiku.

Msafara wa magari saba wa CCM uliondoka Igunga saa 9:00 usiku kuelekea kwenye kizuizi hicho cha Tinde lakini kabla ya kufika, waliona gari la polisi likiwa limeegeshwa umbali wa mita 200 kutoka katika kizuizi hicho wakasimama na kujitambulisha.

Kutokana na unyeti wa tukio hilo na sababu za kiusalama, polisi waliwashauri viongozi hao wa CCM wasiende katika eneo hilo hadi kupambazuke na wakati huo polisi nao wakiongeza nguvu.

Kulipoanza kupambazuka, vijana hao wa Chadema wakiwamo wasichana wawili waligundua kuwa wamezingirwa na kuamua kushuka katika mabasi hayo.

Vijana wa CCM waliwadhibiti na walipowahoji walikiri kuwa wao ni wafuasi wa Chadema na wanakwenda Igunga kama mawakala wa chama hicho na si vinginevyo.

Hali katika eneo hilo ilizidi kuwa tete ilipotimu saa 1:00 asubuhi baada ya vijana hao kusikika wakiwasiliana na viongozi wa Chadema Igunga na kuwajulisha kuwa wamezingirwa na vijana hao wa CCM.

Ili kuepusha vurugu, polisi waliamua kuwarudisha vijana hao kwenye mabasi waliyokuwamo na kufanya upekuzi. Taarifa zilizopatikana baadaye jana zilisema kuwa hawakukutwa na silaha yoyote kama ilivyokuwa ikidaiwa na CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo hilo, kiongozi wa kundi hilo, Devota Ngaiza alisema: “Sisi hatuendi kufanya vurugu wala kupiga kura. Tunakwenda kukiongezea chama chetu nguvu wakati tunaelekea kipindi cha lala salama na tunawahakikishia tutabadilisha upepo.”
Devota alisema kitendo cha viongozi wa CCM akiwamo Makamba ambaye walisema walimtambua bila shaka yoyote, kinadhihirisha kuwa unyanyasaji waliofanyiwa na polisi ikiwamo kupekuliwa ulikuwa ni maelekezo ya CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Malisa alisema idadi ya vijana wanaoingizwa na Chadema Igunga wanatishia amani ya jimbo hilo kwa kuwa haifahamiki wanakwenda kufanya kazi gani hasa.

“Nataka niwahakikishie Chadema na umma wa Watanzania kuwa tunaifahamu mipango yote ya Chadema na UVCCM tumejipanga na tunasema tunao uwezo wa kuwadhibiti vijana wa Chadema,” alisema.

Kwa upande wake, Makamba alisema CCM hakina shaka ya ushindi kwani mtaji wake upo kwa makundi ya wanawake na watu wazima... “Wapiga kura wetu ni wale wanaopenda amani ambao ni kina mama na watu wazima, wenzetu wanalijua hilo kuwa nguvu ya CCM iko kwa kina mama na watu wazima.”

Alisema chama chake kinaamini kwamba endapo uchaguzi huo utafanyika kwa amani, usalama na bila vitisho kitashinda.

Awali, Makamba ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli alidai kuwa chama hicho pinzani kiliingiza vijana 600 jimboni humo na wengine 600 walitarajiwa kuingia kati ya jana na leo akidai kuwa kinajenga mazingira ya vurugu... “Mawakala wa Chadema na CCM, waliapishwa wote Septemba 27, sasa wanaoletwa watakuwaje mawakala wakati hawajaapishwa?”

Makamba aliitaka NEC ijiridhishe kuwa mawakala watakao kuwa vituoni ni wale walioteuliwa na vyama vyao na kuapishwa.
Chadema yabeza

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema CCM wameingiwa na hofu ya kushindwa uchaguzi huo.

“Hizo ni panic (hofu) zao kwa sababu maji yako shingoni na tunachokiona sasa upo mkakati wa CCM kushirikiana na jeshi la polisi kuwatisha vijana wetu waliojitolea kuja Igunga kushiriki operesheni za Chadema,” alidai.

“Ni kweli tunao vijana na viongozi wanakuja kutoka maeneo mbalimbali ya nchi na wala si siri na walizuia kundi linalotoka Singida pia na wakazuia kundi jingine linalotoka Moshi na Arusha lakini nguvu ya umma itashinda.”

Alisema makundi ya vijana yaliyozuiwa katika maeneo ya Babati, Singida na Shinyanga ni zaidi ya 200 na kwamba matukio hayo yalitokea usiku wa kuamkia jana.

“Wamewapekua na hawajawakuta na silaha yoyote ni hofu tu ya CCM kwani wao wameleta watu wangapi hapa Igunga?”

Katika siku za hivi karibuni, CCM na Chadema zimekuwa zikituhumiana kila kimoja kupanga njama za vurugu kwa kuingiza vijana mamluki wenye mafunzo na silaha za jadi na za moto jimboni hapa.

Shutuma za CUF zaelekezwa NEC
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Naibu Katibu Mkuu wa CUF (Zanzibar), Ismail Jussa alidai kwamba kuna zaidi ya majina 3,000 ambayo hayaonekani katika orodha ya wapiga kura iliyobandikwa katika vituo 427 jimboni hapa.

Jussa alisema mbali ya majina hayo kukosekana, wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka kwa watu ambao wana vitambulisho vya kupigia kura lakini hawakuona majina yao katika orodha hiyo.

“Tunashangazwa na tabia hii ya Tume ya Uchaguzi ambayo imekuwa ikijitokeza katika chaguzi kuu ili kuisaidia CCM kushinda inajitokeza tena katika uchaguzi huu mdogo wa Igunga,” alisema Jussa.

Alisema inashangaza kuona NEC inashindwa kuandaa uchaguzi huo bila kuwa na makosa... “Tafsiri yetu katika hili ni kwamba NEC inaandaa mazingira ya kuipa CCM ushindi.”
Akizungumzia madai hayo, Mwenyekiti wa muda wa Nec Profesa Amon Chaliga, alisema Tume yake haijapokea malalamiko yoyote kuhusu watu ambao hawakuona majina yao katika orodha.

“Tumekuwapo hapa na jana nilikuwa na mkutano na viongozi wa vyama vya siasa, walieleza mengi lakini hilo mnalolisema hawakusema, hata hapa hatujapokea rasmi taarifa hizo,” alisema Chaliga na kuongeza:

“Kama kweli kuna matatizo basi watuletee majina hayo maana hapa tuna wataalamu wa masuala ya kompyuta wa Tume na wanaweza kurekebisha kila kitu hapahapa na hao wanaodaiwa kutokuona majina yao wakapiga kura.”

Kwa upande wake Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Protas Magayane alisema majina yaliyoripotiwa kuwa na matatizo wakati wa uhakiki ni 22 tu na kwamba matatizo yao yameshatatuliwa.

Nahodha, RC, DC lawamani
Katika hatua nyingine baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wamekosoa hatua ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa na Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Fatma Kimario kuonekana wakiingia katika makazi ya muda ya CCM.

Viongozi hao wamekitafsiri kitendo hicho kuwa ni ishara ya Serikali kukisaidia CCM na kwamba kufika kwao katika makazi hayo yaliyopo katika Hoteli ya Peak ni kwa ajili ya kupanga mikakati ya ushindi ya chama hicho.

Juzi asubuhi viongozi hao walionekana wakiingia katika hoteli hiyo walipo viongozi wa CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu wake, Wilson Mukama na kukaa kwa muda kabla ya kuondoka.

CCM kwafukuta
Kitendo cha January na Aeshi pamoja na makada wengine vijana wa CCM kwenda ofisi za Chadema kimechafua hali ya hewa ndani ya chama hicho hapa ikielezwa kwamba kitendo hicho hakikuwa na baraka za chama.

Katika tukio hilo, wafuasi wa Chadema walimteka kwa muda Aeshi wakimtuhumu kukichafua chama chao. Inadaiwa kuwa pamoja na nia nzuri ya viongozi hao vijana wa CCM, yaliyojitokeza hapo yalizidi kuchafua upepo wa chama hicho.

Matokeo ndani ya saa 24
Kwa upande wake, NEC imesema itafanya kila linalowezekana kukata mzizi wa fitina kwa kumtangaza mshindi usiku wa kuamkia Jumatatu, Oktoba 3, mwaka huu.Profesa Chaliga alisema hatua hiyo inalenga kuepusha vurugu au kuwapo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani ambavyo husababishwa na matokeo kuchelewa kutangazwa.

Profesa Chaliga aliwaambia waandishi wa habari kwamba ikiwa hakutakuwa na mvutano katika chumba cha kujumlishia kura, hakutakuwa na sababu za kuchelewa kutangaza matokeo.

“Tunaamini kwamba kila kitu kitakwenda sawa na kama hivyo ndivyo, basi hakutakuwa na sababu ya kuchelewesha kutangaza matokeo... na kila uchaguzi mdogo uliofanyika, imethibitika kwamba matokeo yanaweza kutangazwa mapema,” alisema.

Kauli hiyo iliungwa mkono na Magayane ambaye alisema: “Tutajitahidi na ikiwezekana tutangaze matokeo ya uchaguzi usiku huohuo.”

Wizi wa kura
Akizungumzia madai ya wizi wa kura, Profesa Chaliga alisema mfumo wa usambazaji wa vifaa, upigaji kura, kuhesabu na hata kujumlisha hauruhusu wizi wa kura, isipokuwa tu kama mawakala wa vyama vya siasa hawatafanya kazi zao ipasavyo.

"Hawa mawakala wana wajibu wa kulinda maslahi ya vyama vyao na wagombea wanaowawakilisha, hawa wanashiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi, lazima wafanye hivyo ili kuhakikisha kwamba taratibu zinafuatwa,” alisema Profesa Chaliga.

Kuhusu madai yaliyotolewa na Mbowe kwamba kuna masanduku ya kura bandia ambayo yamefichwa katika moja ya nyumba mjini Nzega, Profesa Chaliga alisema NEC haijapata taarifa.

Alisema masanduku hayo kama yapo hayawezi kupata fursa ya kuingizwa kwenye mfumo rasmi wa upigaji kura isipokuwa tu ikiwa mawakala wa vyama, polisi na wasimamizi wa uchaguzi watakubaliana kwa umoja wao kukiuka sheria na kuruhusu hali hiyo.

“Sasa hapo ndipo nasema kwamba mawakala na polisi wanatakiwa wafanye kazi yao, masanduku ya kura yanapokusanywa yanasindikizwa na mawakala wa vyama wanaokuwa katika vituo ukusanyaji wa masanduku unapoanzia, sasa kama hawawezi kutekeleza wajibu wao, basi hayo yanaweza kutokea, lakini mfumo wetu ni imara,” alisema Profesa Chaliga.

Habari hii imeandikwa na Neville Meena,
Daniel Mjema na Godfrey Nyang'oro, Igunga.

habari za mtaani

Saturday, 18 June 2011

HOW TO HANDLE HUMAN PROBLEM?

by invocavity, Every problem exist in our society has its solution especialy in social problen but for economic and poltical sometime can happen, in social problem we assume that it was happen to the other person before we were born? For that we can get idea on how to handle these problem. Even not handred percent but there is idea to start solve it. Thanks dont give up.

HOW TO HANDLE HUMAN PROBLEM?

by invocavity, Every problem exist in our society has its solution especialy in social problen but for economic and poltical sometime can happen, in social problem we assume that it was happen to the other person before we were born? For that we can get idea on how to handle these problem. Even not handred percent but there is idea to start solve it. Thanks dont give up.

HOW TO THINK BIG

by invocavity ,Do you sometime think that there is more to your life than just this.? Do you want to live the life you desire or the life some body else mapped out for you? If you want to change you current situation you need to know how to think big.This is the step you need to follow one is dream big dream, second visualise your day in advance, third Ask bip question and last solve big problems. Thanks